Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Browsing all 23910 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDSM YATAKIWA KUHAKIKISHA INAENDELEA KUWA CHUO KIKUU KIONGOZI

Rais Mstaafu wa awamu ya nne ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na washiriki wa kongamano la kuazimisha miaka 55 toka kuanzishwa kwa Chuo Kikuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI KUBWA MJINI BONGO NA MITANDAO YA KIJAMII SOMA HAPA KUHUSU KOCHA WA...

Kuna tetesi zimeenea kwenye mitandao ya jamii kwamba, George Lwandamina kocha wa klabu ya Zesco United ya nchini Zambia anayehusishwa na mpango wa kujiunga na Yanga  tayari ameshawasili nchini.Inadaiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGAZZ YA KIJANA ALIYEDUNGWA SINDANO YENYE VIRUSI VYA HIV NA BABA YAKE...

Wakati babaake Bryan Jackson alipomdunga sindano ya virusi vya HIV mwanawe mchanga,alitumai kwamba hatamuona akikuwa.Hakuna mtu aliyedhani kwamba miaka 24 baadaye atakabiliana na mwanawe mahakamani ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH MAKONDA AFUNGUKA MAKUBWA KUHUSU MKEWE,AFICHUA SIRI NZITO

Amendika haya kupitia Ukurasa wake wa Instagram"Najua nina WEWE na hiyo INATOSHA!Wewe ndio siri ya NGUVU YANGU, wewe ndio kila kitu kwenye maisha yangu.. najua nimewahi kukukosea lakini ninachofahamu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJIBU YA MEYA WA KINONDONI KUHUSU DK TULIA NA WAZIRI NDALICHAKO KUSHIRIKI...

October 23 2016 baraza la halmashauri ya manispaa ya Kinondoni, Dar es salaamlilitangaza ushindi wa nafasi ya umeya kwa Benjamin Sitta ambaye alipigiwa kura na baadhi ya wajumbe.Lakini moja ya headline...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JACKLINE WOLPER NA IRENE WOLPER MAZITO YAIBUKA,KILA KITU HAPA LIVE

 Staa wa Bongo mwenye mvuto, Irene Uwoya.Stori: Hamida Hassan, IjumaaMastaa wa kike wenye mvuto Bongo, Irene Uwoya na Jacqueline Wolper wamezungumza na gazeti hili na kwa mara ya kwanza wameamua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDIO CEO WA YANGA KUTOKA UFARANSA

Ukiachana na headlines za uongozi wa klabu ya Yanga kudaiwa kumleta kocha mpya katika klabu hiyo George Lwandamina kutoka Zesco United ya Zambia taarifa mpya zimetoka Yanga wamemteua mfaransa Jerome...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRAZY GKAFUNGUKA MAZITO KUHUSU ALI KIBA

Mkongwe huyo wa mziki ameyasema maneno hayo katika kipindi cha MY PLAYLIST knachotushwa na clouds tv, aidha amesema kuwa Alikiba ni mwanamziki anaejielewa, mwenye sauti nzuri na anejua kuitumia vilivo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHECK DIAMOND PLATINUMS NA RAPPER WA MALAWI TAY GRIN WAKISHOOT VIDEO

Tuzo za MTV MAMA huwakutanisha wasanii wengi wa Afrika kwa wakati mmoja. Si kila anayehudhuria huwa ametajwa kuwania tuzo, bali wengine huenda kwaajili ya kutafuta connection.Rapper wa Malawi, Tay Grin...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUPER STAR JOKATE KIDOTI AFANYA TUKIO LA AJABU DOWN TOWN

 Mrembo, Jokate Mwegelo ameahidi kujenga viwanja vya michezo kwa shule ya Sekondari ya Majani ya Chai iliyopo Vingunguti jijini Dar es Salaam.Akizungumza katika mahafali ya nane ya shule hiyo, Jokate...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDIO YALIVYOKUWA MAISHA YA WAREMBO HAWA KABLA YA KUWA MASTAA HAPA BONGO

NAIJUA familia ya mboga saba? Wengine wanapenda kuwaita watoto wa kishua ama familia bora. Hii ikiwawakilisha watoto wanaozaliwa kwenye familia yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi, kiasi cha kutumia mlo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII MWINGINE KUTOKA AFRIKA ALIYESAINI NA LEBO YA SONY MUSIC

Ijumaa ya tarehe 21 October 2016, Afrika kusini ikiwa ni tawi la Sony Music Entertainment, kampuni ya masuala ya Entertainment kwa upande wa Afrika, ilitangaza kumsaini msanii mwingine ndani ya lebo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

THE MAGAZETI YA BONGO LEO TUESDAY/JUMANNE 25/10/2016 LIVE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAA DIAMOND AKATAA KUWASAJILI WASANII WA KIMATAIFA KWENYE LABEL YAKE

Diamond amedai kuna wasanii wengi wa kimataifa Afrika na nje ya Afrika wametaka kujiunga na WCB lakini amewakatalia kwa kuwa anatka kukuza wa nyumbani kwanza Pia amesema sasa hivi hawachukui wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIUCHUMI WA KOREA NA AFRIKA MJINI...

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akipokea zawadi ya kitabu kinachoelezea njia zilizotumiwa na nchi ya Korea Kusini, kupiha hatua kubwa ya maendeleo, kutoka kwa Afisa Mikopo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAENDELEO BENKI YAFUNGUA TAWI JIPYA

   Mkurugenzi Mtendaji wa Maendeleo Benki Bw. Ibrahim Mwangalaba akizungumza na wageni waalikwa jana katika uzinduzi wa tawi jipya la benki hiyo lililopo Mwenge jijini Dar es Salaam,kulia kwake ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA INDIA NA WA SUDANI JIJINI DAR...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa India nchini Mhe. Sandeep Arya (kushoto) aliyemtembelea Makamu wa Rais ofisini kwake Ikulu jijini Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOH MAKINI ATOA FURSA HII KWA WADADA KUJIUNGA WEUSI

Rapa Joh Makini ambaye anafanya vyema na wimbo wake wa ‘Perfect Combo’ amefunguka na kusema kuwa milango iko wazi kwa wasanii wa kike kujiunga na kundi la Weusi na kufanya nao kazi.Joh Makini amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAADHIMISHA MWEZI WA SARATANI YA MATITI...

 Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu (kushoto) akipewa ushauri na Mtaalam wa magonjwa ya Saratani ya matiti  wa hospitali ya AAR Dkt. Zacharia Kabona wakati wa zoezi la kuwapima ugonjwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA DIAMOND PLATNUMZ NA TEAM YAKE WAKIWA LOCATION PRETORIA SOUTH AFRICA

Siri imevuja katika account ya Snapchat ya meneja wa Diamond Platnumz Sallam SK baada ya kufunguka kuwa wako South Africa na team nzima wakishoot video mpya lakini hakuwa tayari kulitaja jina la video...

View Article
Browsing all 23910 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>