Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all articles
Browse latest Browse all 23910

STAA DIAMOND AKATAA KUWASAJILI WASANII WA KIMATAIFA KWENYE LABEL YAKE

$
0
0

Diamond amedai kuna wasanii wengi wa kimataifa Afrika na nje ya Afrika wametaka kujiunga na WCB lakini amewakatalia kwa kuwa anatka kukuza wa nyumbani kwanza 
Pia amesema sasa hivi hawachukui wasanii wengine wachanga mpaka Ray vanny na harmonize wakue vizuri
Msikilize Hapa:


Viewing all articles
Browse latest Browse all 23910

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>