Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Browsing all 23910 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA ZARI THE BOSS LADY

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDIO UTAJIRI WA STAA DIAMOND PLATNUMZ

Kumekuwepo na tetesi nyingi kuhusu utajiri wa Diamond umefikia kiasi gani. Hilo ni swali ambalo hajawahi kulijibu kwa uhakika zaidi ya kutoa tu hints na kuwaacha wanaouliza kubaki na majibu yao wenyewe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATINUMS ALI KIBA FIGISU TUPU AFRIKA KUSINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHECK MPENZI MPYA WA IDRISS SULTAN,WAPEANA MAHABA MOTOMOTO KWENYE TUZO SOUTH

Inasemekana eti Idriss na Mrembo ajulikanaye kama Sanchoka kwa sasa ni wapenzi baada ya kuonekana pamoja huko Afrika Kusini walipoenda kwa ajili ya MTV awards...Picha na Video mbali mbali wakiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASTAA WEMA SEPETU,ZARI THE BOSS LADY BIFU KWISHA,KIGOGO AINGILIA KATI LIVE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

THE MAGAZETI YA BONGO LEO MONDAY/JUMATATU 24/10/2016 LIVE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRITHIWA PLUIJM ASAINI MIAKA MIWILI YANGA

 Mwaka 2014 ZESCO ilimsaini Lwandamina kuwa kocha mkuu, katika msimu wake wa kwanza aliisaidia ZESCO kutwaa taji la ligi kuu ya Zambia kisha kulitetea msimu uliofuta. (Picha na Mwananchi Communications...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUWABANA WANAFUNZI WANAOPEWA MIKOPO KIPAUMBELE

Serikali ipo katika mkakati wa kuwabana wanafunzi wanaopewa mikopo katika fani za kipaumbele, kutumikia katika utumishi wa umma nchini kwa muda fulani ili kuhakikisha dhamira ya serikali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROSE NDAUKA ASEKWA LUPANGO

 Sexy lady wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka (pichani) anadaiwa kuswekwa lupango kwa takriban saa nne kabla ya kuchomolewa kwadhmana.Sosi wetu ambaye ni mtu wa karibu wa Rose alinyetisha kuwa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni (kushoto) ,Ikulu jijini Dar es SalaamMakamu wa Rais wa Jamhuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPAMBANO WA ISHA MASHAUZI, MALKIA LEYLA ULIKUWA ‘BALAA’!

Baada ya Isha kuanza kukamua shabiki huyu alikunwa na hivyo kuvamia jukwaa kwenda kumtunza.Sehemu ya umati uliofurika ukumbini hapo kufuatilia mpambano huo.Leyla akifanya yake baada kupanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AONGOZA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA VYA UKOMBOZI KUISNI MWA AFRIKA KATIKA...

Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Chama Cha kikomunisti cha China (CPC) Ndugu Liu Yunshan, mjini Chongqing, nchini China hivi karibuni. Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDIYE MPENZI MPYA WA STAA IDRIS SULTAN(+PICHA)

 Inasemekana eti Idriss na Mrembo ajulikanaye kama Sanchoka kwa sasa ni wapenzi baada ya kuonekana pamoja huko Afrika Kusini walipoenda kwa ajili ya MTV awards...Picha na Video mbali mbali wakiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MSAIDIZI WA MTENDAJI...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa Msaidizi wa Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Marehemu Margareth Lwekama katika ibada ya kumuombea marehemu iyoyofanyia kwenye Kanisa la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JEURI YA PESA TIZAMA KUFURU LA MFALME WA MOROCCO KWENYE ZIARA YAKE BONGO LIVE!!

Rais John Magufuli akiwa na Mfalme wa Morocco, Mohamed V1  baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam  jana. Picha na Anthony Siame  Kwa ufupiKabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII BANANA ZORRO KUHAMIA KWENYE MUZIKI WA SINGELI

Hakuna ubishi kuwa muziki wa Singeli umeteka vichwa vya mashabiki wengi kwa sasa nchini. Banana Zorro amefunguka juu ya matarajio ya kufanya muziki huo.Muimbaji huyo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMBA ASIKITISHWA NA UPUNGUFU WA MAJI KATIKA ZIWA RUKWA, ATOA MAAGIZO KWA...

Na Lulu Mussa, SumbawangaWaziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.January Makamba ameendelea na ziara ya kikazi katika Mkoa wa Rukwa. Katika ziara yake Waziri Makamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII RAMMY AELEZA MENGI JUU YA PENGO LA KANUMBA(SOMA HAPA)

Msanii wa filamu nchini Rammy Galis amesema pengo aliloacha msanii wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba ni kubwa na halitazibika litabakia kuwa hivyo.Galis ameyasema hayo kwenye kipindi cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA MPYA WA KINONDONI MSTAHIKI BEN SITTA BAADA YA KUSHINDA KWA KISHINDO...

Meya mpya wa Kiondoni Mstahiki Ben Sitta, baada ya kushinda uchaguzi huko kwa kishindo jana live!!Baada ya kutawazwa kuwa Meya mpya Mstahiki Ben Sitta akiingia Ukumbi wa Manispaa kukalia kiti hicho na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA MREMBO HUYU MBONGO AKIWA NA WENZAKE HUKO DUBAI ZAITINGISHA MITANDAO...

Lizy Babe

View Article
Browsing all 23910 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>