Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all articles
Browse latest Browse all 23910

MEYA MPYA WA KINONDONI MSTAHIKI BEN SITTA BAADA YA KUSHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI WA HUO LIVE!!

$
0
0
Meya mpya wa Kiondoni Mstahiki Ben Sitta, baada ya kushinda uchaguzi huko kwa kishindo jana live!!

Baada ya kutawazwa kuwa Meya mpya Mstahiki Ben Sitta akiingia Ukumbi wa Manispaa kukalia kiti hicho na kusimamia kikao cha kwanza cha Manispaa hiyo jana.


Waziri wa Mambo ya Nje Dr. Mahiga akipiga kura yake kwenye uchaguzi huo wajana wa Meya ambapo Ben Sitta Diwani wa Masaki alishinda kwa kishindo na kushika wadhifa huo.

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri Dr. Tulia akipiga kura jana kwenye uchaguzi huo wa Meya wa Kinondoni.


Baadhi ya Wajumbe wa Kikao hicho cha jana Waziri wa Elimu Ndalichako, Waziri wa Utumishi na Utawala bora Ofisi ya Rais Kairuki, na Katibu Mkuu wa UWT/CCM Taifa Makilaki baada ya uchaguzi wa jana.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 23910

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>