Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 23910 articles
Browse latest View live

BUNGE KUENDELEA TENA LEO BAJETI WIZARA TATU WIKI HII , IMO YA HABARI.

$
0
0
MKUTANO wa tatu wa Bunge la 11 unaendelea tena leo mjini Dodoma, na wiki hii, Serikali itawasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha wa 2016/17 ya wizara tatu, ikiwemo bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.Ratiba mpya iliyotolewa wiki iliyopita inaonesha wizara nyingine zitakazowasilisha bajeti zao wiki hii ni Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto itakayojadiliwa kwa siku mbili.
Mwaka jana, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (wakati huo Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo) ilitengewa jumla ya Sh bilioni 29.4 kati ya hizo Sh bilioni tano zilikuwa ni fedha za maendeleo na Sh bilioni 24.4 za matumizi ya kawaida.
Kwa upande wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, bajeti iliyopita, ilitengewa Sh bilioni 1.7 kwa ajili ya Matumizi ya kawaida na matumizi ya maendeleo ili iweze kutekeleza majukumu yake katika mwaka 2015/16.
Kati ya fedha hizo Sh bilioni 1.4 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Sh milioni 239.1 ni kwa ajili ya Matumizi ya Maendeleo. Kwa upande wa Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ambayo kwa muda mrefu , bajeti imekuwa ikilalamikiwa kuwa ndogo, imejumuisha wizara mbili ya Afya pamoja na ile ya Jinsia, Jamii na Watoto.

UCHAFU WA MBUNGE WA CCM,WAPIGA KURA WATAKA APIMWE AKILI

WAZIRI WA MAGUFULI AKWAA KISIKI JIMBONI KWAKE,APEWA MAJI MACHAFU ANYWE

$
0
0
Wakazi wa Kijiji cha Nala na vitongoji vyake juzi walimpelekea maji machafu Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Anthony Mavunde wakimtaka ayanywe kwa kuwa ndiyo wanayotumia.
Mavunde alikutana na mkasa huo muda mfupi alipoingia kwenye kijiji hicho umbali wa kilomita tisa nyakati za jioni, ambako wakazi wa eneo hilo walikuwa wakimsubiri tangu asubuhi.
Mama mmoja aliyekuwa eneo hilo, alifika na chupa ya maji akimtaka Naibu Waziri ayaonje mbele yao, kwani nao ni binadamu kama yeye na wanayatumia, lakini Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini, Paul Luhamo alimzuia kuyanywa.Pamoja na taarifa ya kijiji iliyotolewa na Ofisa Mtendaji wa Kata, Mathias Ndologa, wakazi hao walilipuka na kupiga kelele wakiipinga taarifa hiyo kwamba iligusa kwa juu matatizo yao, lakini ikaacha jambo kubwa la maji.
Kwenye risala yake, Ndologa alikuwa ameelezea suala la maji, umeme, miundombinu na upungufu wa madawati, lakini kelele zilizidi kutoka kwa wananchi wakisema jambo la msingi kwao ni moja tu, yaani maji.
Muda mfupi kelele zilianza watu wakitaka kuuliza mambo waliyoyaita ni ya msingi, ndipo Mavunde akaamuru wapewe nafasi ya kuuliza kwanza kabla hajasimama kuwasalimia.Mmoja wa wauliza maswali alikuwa Daudi Lusinde, ambaye alieleza namna wakazi wa kijiji hicho wanavyopata adha kubwa katika kutafuta maji ambayo aliyaita ni kama dhahabu kwao.
Lusinde alisema wamepata tabu hiyo kwa muda mrefu na bado hawajaona mwanga wa matumaini zaidi ya kuendelea kuumia huku ndoo ya maji ikifikia bei ya Sh500.
“Bei ya sukari inapanda kila kukicha, lakini siyo shida hapa tatizo ni maji, mheshimiwa sisi tunanunua maji kwa gharama kubwa na ukishindwa kiasi hicho unalazimika kuchangia maji na mifugo sijui kama tutapona,” alisema Lusinde na kusababisha mkutano kulipuka kwa shangwe.
Uongozi wa kijiji na chama wilaya ulizu kelele za vijana waliomtaka mbunge huyo aende hadi maeneo wanayochota maji akajionee, ikiwamo uchafu wa maji pamoja na umbali wake.
Akijibu hoja hizo, Mavunde alieleza kusononeshwa na kuahidi kuanzia leo ataanza kutekeleza ahadi yake hiyo kabla ya kufanya jambo lolote.
“Kwa kweli maji ni moja ya ahadi nilizoahidi kwenu, kesho ni Jumapili siyo siku ya kazi, lakini kuanzia keshokutwa (Jumatatu) nitaleta hapa wataalamu kuanza kuchimba kisima kwa gharama zangu,”alisema Mavunde.
Huku akiwa amesimama na maji aliyopewa, alisema yuko tayari kuacha shughuli za Bunge akashirikiane nao kuhangaikia maji, hadi pale watakapoyapata na kuanza kujenga matangi.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mkutano huo, Naibu Waziri alisema katika kipindi cha kampeni alifika eneo hilo na kuahidi kuwapatia maji, lakini muda ulikuwa bado. Hata hivyo, Serikali ya awamu ya tano ina miezi sita madarakani.
“Hiyo ilikuwa ni sehemu ya ahadi yangu kwenye kampeni, kwa hiyo matatizo ya maji hapa nayajua na kweli ni makubwa, ndiyo maana nimeamua kuvuruga kila ratiba ili niokoe watu hawa kweli wako kwenye mateso,” alisema.
Mhandisi wa Maji Manispaa ya Dodoma, Simon Sasala alisema kijiji hicho kina wakazi 7,600 ambao wanahitaji lita 230,000 za maji kwa siku, lakini kuna kisima kinachotoa lita 89,000 na wakati mwingine hakifanyi kazi.
Sasala alisema maji hayo hayatoshelezi kwani yapo kwa asilimia 39, hali ambayo inawapa shida hasa kina mama kutokana na wengi wao kulazimika kufuata maji ya kutumia umbali mrefu.

HSITORIA FUPI YA BENDI MAARUFU YA ZAMANI ORCHESTRA MAKASSY NA MZEE KITOZENGU MAKASSY LIVE!!

$
0
0

Orchestra Makassy was formed in Uganda by Mzee Makassy and a number of Ugandan and Zairian musicians. In 1975 they were left Uganda for Tanzania and took up residency at the New Africa Hotel in Dar-es-Salaam.


 In Dar Es Salaam during the 1970s the most popular bands were formed by Zairean musicians who sang originally in Lingala, and later modified the music to fit the 
inflexion of the Kiswahili language. Orginally perfoming as a solo artiste at the New Africa Hotel, Mose Se Fan Fan went on to join Orchestre Makassy, with whom the first four tracks were recorded. The song "Chama Cha Mapinduzi," in praise of the Tanzanian independence party, had lyrics based on the words of the country's first president, Julius Nyrere.

The next four songs on the first session were issued as singles in East Africa and collected on the Greatest Hits LP. Most of these were updated in the studio and re-recorded for the Agwaya sessions done in Nairobi. The combination of their musicianship and the minimalistic production of Norman Mighell, who recorded them in 1982, produced what many regard one of the finest moments of East African rumba. (--Matt Temple)

Peter toll adds: As for Orch. Makassy, they were not based in Kenya but in Tanzania. When Makassy left for Nairobi to record "Agwaya" (1982), the band was already falling apart. Remmy Ongala stayed behind in Tanzania where he joined Super Matimila while Fan Fan Mosese quit Makassy in Kenya to start another Somo Somo band. The Makassy that produced AGWAYA had really only been playing together for three years or so.

MAMBO KUMI YANAYOLITESA BUNGE LA 11

HSITORIA FUPI YA BENDI MAARUFU YA ZAMANI ORCHESTRA MAKASSY NA MZEE KITOZENGU MAKASSY LIVE!!

$
0
0

Orchestra Makassy was formed in Uganda by Mzee Makassy and a number of Ugandan and Zairian musicians. In 1975 they were left Uganda for Tanzania and took up residency at the New Africa Hotel in Dar-es-Salaam.


 In Dar Es Salaam during the 1970s the most popular bands were formed by Zairean musicians who sang originally in Lingala, and later modified the music to fit the 
inflexion of the Kiswahili language. Orginally perfoming as a solo artiste at the New Africa Hotel, Mose Se Fan Fan went on to join Orchestre Makassy, with whom the first four tracks were recorded. The song "Chama Cha Mapinduzi," in praise of the Tanzanian independence party, had lyrics based on the words of the country's first president, Julius Nyrere.

The next four songs on the first session were issued as singles in East Africa and collected on the Greatest Hits LP. Most of these were updated in the studio and re-recorded for the Agwaya sessions done in Nairobi. The combination of their musicianship and the minimalistic production of Norman Mighell, who recorded them in 1982, produced what many regard one of the finest moments of East African rumba. (--Matt Temple)

Peter toll adds: As for Orch. Makassy, they were not based in Kenya but in Tanzania. When Makassy left for Nairobi to record "Agwaya" (1982), the band was already falling apart. Remmy Ongala stayed behind in Tanzania where he joined Super Matimila while Fan Fan Mosese quit Makassy in Kenya to start another Somo Somo band. The Makassy that produced AGWAYA had really only been playing together for three years or so.

PICHA NA UJUMBE WA MASTAA WA BONGO KWENYE SIKU YA MOTHER'S DAY

$
0
0

Jumapili ya May 8, ilikuwa ni siku ya mama duniani na mastaa kibao wa Tanzania waliungana na watu wengine kuwaandikia ujumbe wa shukrani mama zao. Hawa ni baadhi yao:
Vanessa Mdee

Lady, don’t you know I love ya I thank God for my prayer warrior #MothersDay #AsanteBiMkubwa #SeeFineGal #PleaseGodProtectMyMomma #TimelessBeauty #SheAlmostSixty #BlackDontCrackBruh
Irene Uwoya

Sijui niseme nin …nakosa ata neno lakusema ila nakupenda kias ambacho siwez kueleza. ….umenifundisha mengi kwenye hiii dunia na pengine nimekuwa sikusikilizi lakini yote uliokuwa ukinambia yametimia. …. umenivumilia kwa mengi sana nimefanya mengi lakin ukuchoka wala kuacha kunipenda. ..nakumbuka mengi sana ambayo ata kuyaaandika siwez. ..hakika wewe ni mama wa shoka. ..nakupenda jana ….Leo. ..sikuzote na atamilele. ..ur da best mom in the world. ..LOVE UUU MUM
Feza Kessy

Ain’t a woman alive that could take my mama’s place, nor my sisters really hehee Happy Mother’s Day to my Rock/Hero/Friend Rosa. @saidakessy na we pia my one and only sis. I love youuu infinity. – See more at:
Nay wa Mitego

Happy Mother’s Day [heart] !! #AsanteBimkubwa Nakupenda kila siku mama ila Leo ni Siku yenu..!! Unajua ni kiasi gani nimekusumbua kwny malezi yangu ila hujawai nitupa.!! Hakuna Kama Mama. Tupo na Mama etu aka Bibi yetu.!!
Ben Pol

Mama you are the Best!.. Wakati Baba anafungwa gerezani Keko alikuacha na ujauzito wangu (yaani mimi nikiwa tumboni mwako nna miezi 6) na ulikuwa na mtoto mkubwa wa miaka miwili Marehemu #michael #mybrother #Rip , tukiishi kwenye nyumba za kupanga Vingunguti, ulipambana, uliuza maandazi, uliuza vitumbua ilimradi kuhakikisha wanao tunakula vizuri, ulifanikiwa kunizaa mimi salama salmini (Nilizaliwa Nyumbani, si Hospitali) ukanilea nikakua, hapo baadae Baba akaachiwa huru na kunikuta nimeshakuwa “Jibaba” lakini zote ni juhudi zako, nakuombea heri mama yangu, mwenyezi mungu akuweke na akupe furaha kila siku, #SioniAibu .. Naipenda sana hii Stori Yangu, ulinihadithia wewe mwenyewe Mama yangu, wewe ni Soldier!!.. Mungu akubariki na awabariki wamama wote duniani.. sparkling_heart , tuseme Amen wote pray!
B12


To my Forever Friend, Nakupenda Sana! Sina cha kukulipa zaidi nakushukuru! Happy Mother’s Day to you Mama na wakina mama wote All over the World #AsanteBiMkubwa
Master J

You held my hand for a short while, but my heart forever. Throughout my life you’re always near to guide my way. Nakupenda sana mama, happy mother’s day. heartheart
Zari the Bosslady
It’s unexplainable. You have to go through it, To experience it, To understand it. HAPPY MOTHER’S DAY

Diamond kwa Zari

very Special Mother’s day to this Beautiful and Humble soul of Mine @zarithebosslady … i wish you can understand how much i love you, Mpaka natiwa Dripu [disappointed_relieved] ….wenyewe wanasema kuzaa sio tija, ila kumpata Mwanamke akajua kumlea mtoto wako Vyema ndio kazi inakuwaga hapo… Shukran sana kwa zawadi hii kubwa ya Mtoto mzuri na kuendelea kumlea vizuri….. sjui na lile jipu pia Ntumbue [smiley] …. aaagh! Anyway’z [stuck_out_tongue_closed_eyes] [raising_hand] tutakutana Mbeleni
Diamond kwa mama yake

Malezi na Misingi Bora uliyonipa ndio iliyonifanya hadi leo nifikie hapa…. jus wanted to tell you that i Love you So Much Mom, na shukuru kwa kunizaa na Kuniongoza vyema kila kikicha Mwanao… Wish you na Wamama wote Duniani Happy Mother’s day, Maisha maref yenye Afya na Furaha tele….. vilevile Mwenyezi Mungu Awasameh Makosa yao na kuzilaza Roho za wamama wote waliotangulia Mbele ya haki Pema Peponi Amin
Queen Darleen

My Maaaa MycrownQueen #NakuPendaMaMa D #HappyMothersday heartheart
Millen Magese

Happy Mother’s Day to my beautiful Mama ….. #IfIstartToTalk I won’t finish . I love you so much mama and will always be there for you kissing_heartkissing_heartkissing_heartkissing_heartkissing_heart cc @robert_magese @dadival_ @gracemagese @andrewmagese
Izzo Bizness

Leo ni siku ya MAMA duniani hivyo mimi nimewaandalia zawadi wakina mama wote duniani na utapata kuiona hapa muda si mrefu zawadi yangu kwao #MAMANIMAMA
Aunty Ezekiel


Happy Mother’s Day ….I mic u Mama
Young Killer


#NAKUPENDA SANA : #BI_MKUBWA:( na pia nawatakia #happy_mothers_day #Wakina mama wote_dunian. ROHO ZANGU prayskin-tone-2 Cc @miss_hip_hop @miss_hip_hop # #asantebimkubwa
Lulu

Inakuwaga ngumu sana kukuongelea Kwa machache..! Kikubwa namshukuru MUNGU kwaajili yako…wewe ndo mwanamke nyuma ya mafanikio yangu Na ujasiri Wangu…umenitengeneza Na kunifanya niwe nilivyo Naweza kuyakabili magumu Na maumivu kwasababu nimekua nikikuona ukipitia mengi,magumu Na yakuumiza lkn ulisimama katika yote bila kukata tamaa Na mwisho WA yote umekuwa mshindi ktk kila lililoonekana Kama jaribu kwako..!
Kupitia wewe nimejifunza kuwa MAMA Sio kitendo cha kuleta mtoto duniani Tu But being a mother is a Package….kuwa MAMA Ni kuyajua majukumu,kuyakubali Na kuyakabili,Kuwa MAMA Ni kusimama Na kutetea damu yako ikiwezekana Hata Kwa kupoteza heshma Na Hata uhai wako,Kuwa MAMA Ni kulea kuanzia Kimwili,Kiroho,Kiakili,Kimienendo Na mengine mengi Kwa maongozo yako Ninaamini Nitakuja Kuwa Mama Mzuri sana Kwa watoto wangu,Kwa familia yangu Na Kwa watu wote walionizunguka Kwa ujumla Baraka,Neema,Mafanikio,Kibali Na Kila lililojema viendelee kukufata katika maisha yako MAMA…NAKUPENDA Happy mothers Day……….!!!!heartheartheart
P-Funk

Quick Rocka

Diva

Leo ni siku ya Mama Duniani, Mwenyezi Mungu awarehemu Mama zote waliotangalia Mbele za Haki, Mie sijawah kuwa na Malezi ya Mama Mzazi, at all … so sababu main Point ni Mama mzazi basi sina la kuongea. ila mnaoachiwa watoto wazazi wao wanapotangulia Mbele za haki Jaman Muwapende Muwalee vizuri msiwanyanyase .. been torchered alot wakati nakuwa.. yaan nilikuwa nalia sana. Maneno na Masimango yalikuwa Mengi lakini sababu ‘ I am Loveness sikuacha Kuwa na Upendo ‘ Bibi yangu alisema ‘ Upendo Jaman upendo ni Kitu Bora , Mtu asiekuwa na upendo daima hana Furaha. Nisingekuwa na amani na imani ningepoteza muelekeo wa maisha at the young age ..
But niliendelea kuwa a good girl na all i ever wanted ni kuwa na Maisha yangu Mwenyewe .. nilikuwa na wenye upendo pia walinizunguka wakanilea vyemaa Binti Malkia .. My Dad .. have the best daddy in the world wallah nampenda sana .. ali make sure naenda shule , naenda shopping, naishi maisha ya furaha .. he loves me , jana , leo and ata kesho .. akanipa all the happiness in the world, amenipa all the love. nikatabasamu tena.
Mzee Malinzi yaan lov you Daddyyyy loads , lov u Bunchhh, My one and only papiiii … God is Good I am alive i have my own life , sitajuta na nashukuru kwa kulelewa hivyo ambayo nilililelewa .. imeni shape to be a better person. lovely person indeed, i have a big heart, heart of an Angel … das y sipendi na nachukia manyanyaso ya aina yoyote ile. Ila sitahesabu Makosa .. Ujumbe wako kwako Mama … i wish to see you. I do love You … everything imetokea for a reason Mungu ana sababu zake .. Nakutakia Upumzike kwa amani… Mama zanguuuu woteee Nawapenda sana !.
Nawatakia siku Njema ya Mama duniani. tuna imani ya Maisha baada ya Kifo .. then ama see you Mommy!. Ama tel you all about it when i see you again. Mama I made it
Baby Madaha


My mommy..my heroine aki sijui nikupe nini …you made me beautiful even more than you(joking)hahahaaa,incredible sacrifice…you were such a smart girl in choosing those perfect genes..imma waiting for my son thou..nah daughterjoyjoy
Roma


#MamaAkeRoma, Basi Bana Kuna siku nilichelewa kurudi nyumbani! dingi akanikata stick nyingi sana akaniambia hakuna kula mchana!mtembezi hula miguu yake!! afu mama ndio alikua anaepua maharage jikoni na kitu cha wali kilikua tayari chini kinanukia hatari!!haya bna nikaenda kulala kwa huzuni kubwaaa sana huku tumbo likinguruma kwa njaa!!watu wakala wakamaliza mk nikajipitisha ili hata mzee anionee huruma nile lakini wap!!Nikashangaa mama ananiita kwa Hasira,We kuja hapa Pumbavu wewe Chukua hyo ndoo hapo uende ukachote maji!!nikazidi kuumia kuona mama nae ananipa kazi na njaa yote ile!!basi nikasepa kinyonge nikiwa njiani nikahisi kwenye ndoo kuna kitu kufungua hivi nakutana na bakuli kubwa limejaa Waliiiiii na Maharage!! kwanza nililiasob kidogo kwa furahajoy_cat then nikaula fasta!! #HappyMamas #NakupendaMamaRoma
Kala Jeremiah

GADNA : AFUNGUKA HAYA NA KUMJIBU JIDE :

$
0
0
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.
"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "
Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.
Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.

THE MAGAZETI YA BONGO LEO MONDAY/JUMATATU 9/5/2016 LIVE!!

SABABU YA WABUNGE KUOMBA RUSHWA,AELEZA MAMBO MAZITO

$
0
0
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, ametaja sababu zinazochochea wabunge kujiingiza kwenye vitendo vya rushwa, ni presha kutoka kwa wananchi inayotokana na kutakiwa kuchangia masuala mbalimbali katika majimbo yao.
Spika huyo pia amewatangazia rasmi wabunge kuwa Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma inatarajia kuwasilisha bungeni muswada wa sheria utakaotenganisha uongozi na biashara.
Aliyasema hayo wakati akizungumza katika uzinduzi wa Chama cha Wabunge wanaopambana na Rushwa (APNAC), mjini hapa. Aliwataka wabunge hao kujiepusha na vitendo vya rushwa licha ya kuwa na maslahi madogo.
Pia aliwataka wajiandae na sheria hiyo kutokana na ukweli kuwa katika bunge hilo wabunge wengi pia ni wafanyabiashara. Presha za rushwa Alitaja sababu za wabunge wa Tanzania kujiingiza kwenye rushwa ni presha za wananchi wao kuwataka wachangie kila inapotokea msiba, sherehe, madawati, madarasa, barabara hadi ada.
Alisema kutokana na kipato kidogo cha fedha, wabunge wengi hutafuta mbinu mbadala za kupata fedha kumudu gharama hizo. Mishahara ya wabunge na marupurupu yake kwa mwezi yanakadiriwa kufikia zaidi ya Sh milioni 11 kwa mwezi.
Sababu nyingine ni mikopo yenye riba kubwa ambayo wabunge wengi wameichukua ikiwa ni pamoja na maslahi madogo wanayopata wabunge hao. “Kutokana na hali hii wakati mwingine humfanya kiongozi ahangaike kutafuta fedha na ndipo wengine hujiingiza katika vitendo hivi vya rushwa.
Nawatahadharisha ninyi kama wabunge mnao wajibu wa kudhibiti rushwa na kuwa mfano katika jamii,” alisema. Spika alilia maslahi Alisema katika eneo la maslahi, ofisi ya Bunge inatambua kuwa bado maslahi wanayopata wabunge hao ikilinganishwa na kazi wanayofanya ni madogo hivyo, wanaendelea kuangalia namna ya kuyaboresha.
Ndugai alisema wabunge wa Tanzania wana wajibu na jukumu kubwa la kudhibiti rushwa kwa kutunga sheria zinazopaswa kutumika katika kuunga mkono au kuleta miswada itakayosaidia kutokomeza rushwa. Alisema pia moja ya kazi ya wabunge ni kushauri na kusimamia Serikali.
Alisema ni vyema pale ambapo kuna viashiria vya rushwa wakatoa ushauri huo bila kukubali kushawishiwa kwa rushwa. “Vilevile katika kupitisha bajeti za serikali, hapana budi kuhakikisha vyombo vinavyohusika na mapambano dhidi ya rushwa vimetengewa fedha za kutosha,” alisema.
Aliwaasa wabunge kujiepusha na vishawishi vya rushwa kwa kuwa nafasi waliyonayo ni nyeti. Alisema pia kutokana na mwenendo wa umakini wa Serikali ya Awamu ya Tano, inawezekana wakawepo watu wanaoona umakini huo kama maslahi yao na kutumia njia pekee ya kuwarubuni wabunge.
“Nawaasa msishawishike,” alisisitiza. Alisema kwa mujibu wa Jumuiya ya Vyama vya Wabunge Wanaopambana na Rushwa Afrika (GOPAC), takribani dola za Marekani bilioni 50 hutoroshwa Afrika kutokana na rushwa. “Hizi ni fedha nyingi sana za walalahoi zinazotumika kwa maslahi ya wachache,” alisema.
Pia amehamasisha wabunge hao kujiepusha na vitendo vya rushwa kwa kile alichosema, katika awamu hii ya serikali ya awamu ya tano, yeyote atakayebainika kujihusisha na vitendo hivyo lazima aingie matatani. Sheria ya maadili “Muda si mrefu nitawaalika waje watoe semina kwenu kuhusu undani wa sheria hiyo ili wote muielewe vyema.
Nawashauri muisome vizuri sheria hii ikija kwa sababu wengi wetu pamoja na ubunge tunafanya biashara ili tujiendeshe vizuri,” alisisitiza Ndugai. Alisema sheria hiyo ikipitishwa, haitakuwa ya kwanza Tanzania kuitekeleza kwani nchi nyingi duniani zimekuwa na mfumo unaotenganisha viongozi wake na biashara.
“Wenzetu ni kawaida ukiingia kwenye siasa unakabidhi biashara yako mpaka pale utakapomaliza uongozi wako ndio unaruhusiwa kuendelea, naomba mjiandae kuipokea sheria hii, ni sheria nzuri na ina malengo mazuri,” alisema. Akizungumzia rushwa, alisema kila bunge lina sababu zake za wabunge kujiingiza katika vitendo vya rushwa .
Wabunge; sheria hiyo ni mwiba Baadhi ya wabunge waliozungumza na gazeti hili baada ya mkutano huo kumalizika, walisema sheria itakayotenganisha viongozi na biashara ni mwiba kwa wabunge wengi na itakapowasilishwa bungeni itazua tafrani.
“Sikufichi, wabunge wengi sisi hapa mnavyotuona ni wafanyabiashara, ukituvua tu nafasi ya biashara hatuna kitu, hili kwa kweli kwetu ni mtihani haya tusubiri tuone,” alisema mmoja wa wabunge hao aliyekataa kutaja jina lake.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki, aliwataka wabunge kujiepusha kuhusishwa na rushwa akisisitiza kwamba, kutokana na nafasi yao katika jamii, wanapaswa kuwa mstari wa mbele kudhibiti tatizo hilo na kuwa mfano mbele ya jamii hiyo.
“Niwaambie ukweli kwa nafasi hii tuliyonayo wabunge wenzetu hatutakiwi hata kutuhumiwa kwa rushwa. Sisi ndio tunatakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana kwa vitendo na walarushwa nchini mwetu,” alisema.
Aidha alizungumzia suala la malalamiko ya adhabu kwa walarushwa kuwa ndogo na kukiri kwamba adhabu zinazotolewa kwa watu wanaothibitika kufanya vitendo vya rushwa ni ndogo ikilinganishwa na hasara iliyotokana na rushwa hiyo.
“Nawaahidi hili tumelipokea la adhabu na tutawasilisha mapendekezo kwa ajili ya kuifanyia kazi sheria yetu ya rushwa. Naomba wabunge wenzangu mtuunge mkono kwa hili,” alisema Waziri Kairuki.
APNAC yapongeza kupunguza rushwa Akiwasilisha mada ya kuhusu tathmini ya shughuli za APNAC katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Mhadhiri wa Siasa katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Davis Mwamfupe, alisema chama hicho kimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kueneza uelewa wa tatizo la rushwa hususan kwa wabunge.
Hata hivyo, alisema changamoto kubwa iliyopo katika kutatua tatizo la rushwa, ni kutokana na mara zote rushwa kufanyika kwa siri na hufanywa na watu wenye nafasi kubwa katika jamii wakiwemo wanasiasa na wachumi hivyo kuwa vigumu kuwakamata.
Aliwataka wabunge hao kutotumia nafasi zao ndani ya Bunge na kukemea rushwa kwa mdomo pekee bali waoneshe dhahiri kuichukia na kupambana nayo kwa vitendo. Mbunge wa Nkasi, Ally Keissy, wakati akichangia mada hiyo ya rushwa, alisema tatizo la rushwa litamalizika endapo Mahakama na vyombo vya dola vitachunguzwa kutokana na ukweli kuwa kesi nyingi za rushwa zimefunguliwa, lakini hazishindi.

RAIS MAGUFULI ASEMA MM SIO JEURI WALA KATILI,AFUNGUKA MAZITO

$
0
0

 RAIS John Magufuli.
RAIS John Magufuli amesema hatua anazochukua dhidi ya watumishi wa umma waliofanya ubadhirifu serikalini na taasisi zake zinalenga kuwarudisha kwenye maadili ya utumishi wa umma, kufuata misingi ya kazi na sio vinginevyo.

Alisema hayo jana katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Burka mjini hapa alikoshiriki ibada na waumini wa kanisa hilo. Rais Magufuli alisema watumishi wa umma walijisahau, wakafanya ubadhirifu na kukiuka kwa makusudi maadili ya kazi kwa hali ya juu na kufanya Watanzania wanyonge kuendelea kuteseka wakati wao wakiendelea kuishi maisha ya peponi.
Alisema anapambana na watumishi hao kwa hali na mali na atawasimamisha kazi na hata kuwafukuza kazi kwa kuwa aliahidi kutetea wanyonge. Alisisitiza hilo kwake halitarudi nyuma. Rais alisema yeye sio mkatili wala jeuri kama ambavyo baadhi ya watu wanafikiria.
Alisema kwa hali ilivyokuwa, ni lazima achukue hatua madhubuti kwa watumishi wa umma walioifilisi nchi kwa manufaa yao, iweze kusonga mbele. ‘’Mimi sio mkatili wala jeuri, lakini ni lazima uchukue hatua kwa watumishi wa umma walioifikisha nchi hapa tulipo,’’ alisema.
Aliongeza kusema; “Nimejitoa kafara kwa ajili ya wanyonge kama nilivyoahidi kipindi nilipokuwa naomba kura kutaka niwe Rais na hilo litawaudhi baadhi ya watu wakubwa, lakini itabidi wanivumilie tu.
“Niko pamoja na ninyi ndugu zangu Watanzania na wana Arusha wote, napenda kuwaahidi tena sitawaangusha, nitasimama mbele kuwatetea masikini. Siku zote nitakuwa upande wenu, siku zote nitatembea na ninyi, nasema kwa dhati kabisa na nataka muamini hilo kwamba sitawaangusha,” alisema Magufuli huku akishangiliwa na waumini walioshiriki ibada hiyo.
Rais ambaye alisisitiza kukerwa na hali mbaya ya kimaisha ya Watanzania wanyonge wakati baadhi ya watumishi wa umma wakiishi kama wako peponi, alisema kasi yake ya kupambana na watumishi hao hataipungua kamwe na ndiyo kwanza inaanza.
“Najua baadhi ya wakubwa watakerwa na hatua ninazochukua, kwa hiyo nawaomba Watanzania mniombee kwa Mungu ili niweze kufanya kazi yangu kwa amani kubwa, ‘’Watumishi wamejisahau na wamekuwa wakifanya kazi kinyume na maadili ya utumishi wa umma na hatua ninazochukua msizitafsiri kuwa ni ukatilii au udikteta hapana,’’ alisema.
Rais Magufuli alisema, ‘’Watumishi wa umma wamekuwa wakiwadhulumu Watanzania kwa muda mrefu kwa kuwanyonya jasho lao; hivyo ni lazima maamuzi ya kuwarudisha katika mstari yachukuliwe.”
Alisema ili nchi iweze kupiga hatua lazima kuwe na nidhamu ya kazi, uadilifu na kuwajibishana linapokutwa kosa. Alisema bila ya hivyo, nchi haiwezi kusonga mbele itakuwa ni kujidanganya. Rais aliongeza kuwa Watanzania wanyonge ni lazima wapate haki yao pale wanapohitaji na kutokuwa na matabaka ya walionacho na wasio nacho.
“Ninajua kuongoza ni kazi kubwa, ninajua kuongoza taifa lililo masikini kama Tanzania inahitaji mkono wa Mungu, kwa hiyo niwaombe sana ndugu zangu Wakristo na Watanzania kwa ujumla, muendelee kuliombea taifa hili, kuniombea mimi, na pia kujiombea sisi wote ili amani tuliyonayo katika nchi yetu iendelee kudumu katika maisha yote.
“Lakini siku zote katika matendo yetu kila tunapofanya tumtangulize Mungu kwa sababu Mungu ndio kila kitu, lakini tutambue kwamba siku moja tutakufa, kwa hiyo ni vyema katika matendo yetu tutakapokuwa hapa duniani tujitahidi sana kufanya matendo mazuri kwa ajili ya watu na hasa watu wanyonge, ambao kwa kweli Watanzania waliowanyonge wanapata shida sana,” alisema.
Akihubiri kwenye ibada ya misa takatifu kanisani hapo, Padri Geramani Longoi, aliwataka Watanzania kufanya kazi kwa bidii na kuwa waadilifu kazini. Katika misa hiyo ya Siku Kuu ya Kupaa Mbinguni kwa Yesu Kristo, Longoi alisema hata Yesu Kristo alifanya kazi yake duniani na baada ya kuwatumikia ipasavyo wanadamu, alipaa mbinguni.
Mwenyekiti wa Parokia hiyo, Jonathan Mushi aliwataka Watanzania kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kazi ngumu anayofanya. Mushi alisema kila Mtanzania mwenye nia njema na nchi yake, hanabudi kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kuwa uamuzi anaouchukua ni mgumu. Alisema uamuzi wake unataka kila mmoja kufuata maadili ya kazi na kuwa muadilifu.


Chanzo: Habari Leo Imeandikwa na John Mhala, Arusha


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimia waumini aliposhiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana katika Parokia ya Toleo la Bwana jimbo la Arusha Mei 8, 2016
Sehemu ya waumini wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa akiwsalimia  aliposhiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana katika Parokia ya Toleo la Bwana jimbo la Arusha  Mei 8, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipokea zawadi ya Rozari kutoka kwa Padri Kiongozi  Peter Pinto Sio Germin Longio  aliposhiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana katika Parokia ya Toleo la Bwana jimbo la Arusha Mei 8, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipokea zawadi ya Biblia Takatifu kutoka kwa Padri Kiongozi Peter Pinto Sio Germin Longio  aliposhiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana katika Parokia ya Toleo la Bwana jimbo la Arusha Mei 8, 2016

LE MUTUZ NATION HANGING OUT WITH THE KING OF ALL POP IN EAST AFRICA DIAMOND PLATZNUMZ LIVE!!

$
0
0
Le Mutuz Nation hanging out with Super Mega Star Diamond Platznumz live at the Colosseum Hotel Uptown Masaki.



TEAM WEMA GIGY MONEY KIMENUKA,AWALIPUA VIBAYA,AWAPA MAKAVU LIVE

$
0
0


Gigy Money announce beef with all Team wema after taking her Man Idris Sultan; Gigy Money have reveal the above message through her social network of Instagram, that for those who are in team wema sepetu to stop following her moves, simply because every one have the freedom to love the man he wants, so she finally finishes her act by telling the team wema sepetu to stay far away fro her life.

THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK AT CIROC PARTY YA KWANZA BONGO AT AKEMI JUMAMOSI ILIKUWA NI BALAHAA ONA HAPA LIVE!!

$
0
0
Le Mutuz Nation at the Ciroc Super Bash ya kwanza kufanyika Bongo with all Celebrities from left Diamond Platznumz's Manager Mr. Saalam + Rap Star Singer MwanaFa + Rap Star Singer AY live at Akemi downtown Bongo.


Super Deejay Infamous from Atlanta/USA perfoming at the Ciroc Party live!!

Le Mutuz Nation hanging out with Super Babes Vien Wolper's younger sister + Super Model Minah live at the Ciroc Bash live!!


Le Mutuz Nation hanging out with Super Star Model Hamisa Mobetto live at the Ciroc Bash!!

Le Mutuz Nation at the Ciroc Bash with Super Models Neema & Hasna live at the Bash Akemi downtown bongo!!



Le Mutuz Nationn at the Ciroc Bash with the squeez Vien Wolper's Sister live at Akemi!!


SUPER STAR WEMA SEPETU AFUNGUKA MAZITO KUHUSU WANAOMTUKANA MGUMBA,AELEZA MENGI

$
0
0
Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa hapendi watu wanavyomwita mgumba ama kuendelea kumuongelea kuhusu uwezo wake wa kupata mimba huko Instagram kwani saa zingine anashindwa kuvumilia, ameongeza na kusema pia
hiyo ndo ilikuwa sababu moja wapo ya yeye kutangaza  sana kuwa anamimba kipindi kile kwani ilikuwa nafasi yake ya kuwa prove wrong watu wanaosema kuwa ni mgumba lakini mungu hakupenda iwe hivyo na mwisho mimba kuharibika....

Jamani Punguzeni Kidogo

BARAKA DA PRINCE NAIMA MAPENZI MOTOMOTO,CHECK MAPICHA YAO LIVE

$
0
0










Photos of Baraka the Prince and Najma trending with emotional Love 

CHECK VIDEO PARTY YA SUPER STAR WEMA SEPETU ILIYOANDALIWA NA TEAM WEMA,IDRISS SULTAN NAE ATINGA

$
0
0

Ni miongoni mwa mastaa wachache wa Tanzania wenye mashabiki wengi, mwigizaji huyu na Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu aliandaliwa party na watoto wa kitanzania wanaomkubali (Team Wema) na hivi ndivyo ilivyokua

CHECK WEMA SEPETU ALIVYONUNUA VITUMBUA KWA MAMA NTILE.TEAM DNA WAMSHAMBULIA VIKALI

$
0
0




You must see this photo's from Wema sepetu and other Bongo movie getting some food and Vitumbua from Mama Ntilie mmmmh!! Caption this Photo's:(more Photo's

RAIS MAGUFULI ASEMA HAPA MKONG'OTO TU

STAR AUNT EZEKEL AMENISADIA SANA ASEMA MOSE IYOBOA AAFUNGUKA MAMBO MAZITO

$
0
0

Dancer wa Diamond, Mose Iyobo amesema kuingia kwenye mahusiano ya mapenzi na Aunt Ezekiel kumemsaidia mambo mengi katika maisha yake.
Aunt na Mose


Akizungumza na Bongo5, Mose amesema hasa hasa amenufaika sana na umaarufu wa Aunt Ezekiel ambae ni staa mkubwa katika tasnia ya filamu.
“Kuwa na mahusiano na mama Cookie kumenisogeza sana,” alisema Mose. “Kwa sababu ni star wa filamu toka kitambo sana. Mimi nilikuwa najulikana lakini siyo kivile, lakini nilivyokutana na Mama Cookie kuna vitu vingi vimeongezeka katika maisha yangu,” alisema Mose.
Pia Mose amesema mwanae Cookie ataonyeshwa hadharani rasmi kwa mara ya kwanza tarehe 21 mwezi huu baada ya kutimiza mwaka mmoja

Chanzo:Bongo5
Viewing all 23910 articles
Browse latest View live