$ 0 0 Lucy Komba aliyeolewa na mume mwenye asili ya kizungu amejiachia live na lekiss.Maadili ya kibongo yamewekwa pembeni kwenye ndoa hiyo ya mchanganyiko wa mataifa.Le mbebez huyo ambaye anaishi nchi ya ughaibuni huku akila kipupwe na kuku kwa mrija.