Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all articles
Browse latest Browse all 23910

BIFU LA RADIO MAARUFU HAPA NCHINI SASA NI MOTO WA KUOTEA MBALI SANA TIZAMA WALIPOFIKIA LEO LIVE!!

$
0
0
whatsapp-image-2016-10-25-at-3-45-43-pm-3

Mwezi wa nne mwaka huu aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM katika kipindi cha Power Breakfast,
Paul James maarufu PJ alihama kituo hicho cha redio na kujiunga E.FM.Baada ya muda kidogo mtangazaji huyo alirejea tena Clouds FM akitokea E FM. Kufuatia hatua hiyo, E FM imefungua malalamiko katika Tume ya Usuluhishi juu ya PJ ambaye alikuwa mwajiriwa wake.whatsapp-image-2016-10-25-at-3-45-43-pm

Comments


Viewing all articles
Browse latest Browse all 23910

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>